Kama utakuwa mfuatiliaji mzuri wa blog hii kribuni tulikuletea habari juu ya Jack wa Chuz kufunga ndoa na kubadili dini kwa habri zilizoko ni kwamba baada ya saa 48 tu Jack kufunga ndoa ymekuja mapya kabisa baada ya dada Mariam Omary anayedai Jack Chuz kamchukulia baba(Gardner Dibibi) watoto wake akiwa na mwanaye.
Mwanamke huyu mwenye jina la Marium Omary inadaiwa kuwa na mahusiano na Gadner Dibibi kwa muda wa miaka mitatu sasa na kufanikiwa kupata mt0to mmoja wa kiume.
Dada huyu ambae anishi Kigogo jijini dar es salaam alisema siku ya tukio ya ndoa ya Gadner alimuaga kuwa anasafiri anaenda Morogoro hivyo hatakuwepo dar lakin baada ya muda dada huyu alipata taarifa kutoka kwa watu kuwa mumewe anafunga ndo na mwanadada Jack wa Chuz

Dada huyu alialamika na kusema kuwa Jack wa Chuz anajua kila kitu kuhusu yeye na Dibibi na kusema
“Hakuna asichokijua kati yangu na Dibibi, kwa usalama wake Jack aniachie mume wangu,” alilalama mwanamke huyo.
Baada ya Jack kulizwa swala hili alisema hivi ‘’baba wa mtoto anayemjua ni mama peke yake na isitoshe kuzaa naye isiwe sababu kwani yeye hakumuoa’’

Na Dibibi naye alikuwa na haya ya kusema

“Alikuwa demu wangu na kuzaa mtoto isiwe sababu. Hata hivyo, ukweli wa baba wa mtoto anayejua ni mama. Sikumtolea mahari wala kumvalisha pete ‘so’ hana kizuizi na ndoa yangu,” alisema jamaa huyo kisha akakata simu’’

Post a Comment

 
Top