Mwanamziki wa RnB amabaye anafanya vzuri sana kwenye gemu
la muziki wa bongo fleva Bernard Paul anayejulikana zaid kama Ben Pol ambae
bado anendelea kutikisa vema kwenye tasnia hii ya muziki wa bongofleva, sasa
kwa habari zilizoko ni kwamba anatarajia kuachia album yake hivi karibuni.
Ben Pol kwa sasa yupo katika hatua ya mwisho ya
kuikamilisha album hiyo ambayo itakuwa na mchanganyiko wa nyimbo za zamani na
mpya ambazo bado hazijasikika kabisa.
Album hiyo amabyo itaitwa ''Ben Pol Love CD'' ambayo
ataiachia Album hiyo mwisho mwa mwezi huu kama wewe ni shabiki mkubwa wa ben
pol basi hii inakuhusu.
Post a Comment