Kutoka mtandao wa kijamii wa Twitter marappper wawili
wanaofanya vizuri kwenye gemu ya yamuziki wa bongo fleva Stamina na Quick
rocka wachia picha zinazowaonyesha wakiwa studio na Msanii mwingine
anayejulikana kama Young Killer ambaye anafanya vizuri na ngoma yake ya Dear
Gambe alifanya na Msanii kutoka Morogoro Belle 9,Ngoma hiyo itakaruka hewani
kwa jina la Jana na Leo ingawa kutoka kwa ngoma hiyo haijajulikana ni lini ambapo
ngoma hiyo inafanyiwa chini ya mkono wa Producer monagaanstar kutoka studio za classic
sound.Basi endelea kuwa nasi utaipata hapa kupitia blog hii
Home
»
»Unlabelled
» COOMING SOON:NEW HIT YOUNG KILLER FT STAMINA & QUICK ROCKA_JANA NA LEO.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Thank you fοr sοmе other excellеnt ρoѕt.
ReplyDeleteThe plaсe else coulԁ anyone get thаt
type of іnfοrmаtion in such an ideаl methoԁ οf
ωriting? I have а pгesentatіon next week, аnd ӏ'm on the look for such information.
Feel free to visit my web-site payday loans