Kupitia kipindi cha XXL cha Super Brand redio clouds fm mwanamziki Diamond ambaye leo amechia nyimbo yake mpya aliyofanya na Ney wa Mitego amefunguka juu ya yeye kumnunulia gari mpenzi wake Vj Penny ambalo ni kwa ajili ya
kumsaidia kwenda Kliniki msikilize hapa
Na hii ndio mfano wa gari anayo tembelea mama mtarajiwa wa mtoto wa
Mwanamziki Diamond kabla ya kuletewa gari yake mpya ili kumsaidia shughuli za
hapa na pale za kliniki mchumba wake huyo mwenye ujazito wake Vj Penny
Post a Comment