Katika hali isiyo kuwa ya kawaida hacker waendele kusumbua sasa ni zamu ya tovuti ya serikali ya makamu wa rais  kilicho andikwa nimatusi  kwa maandishi na kuna muziki wa hiphop wa mitusi.. Kuna mtu anajiita Govt Attacker. Mr. Spam ..! Eti ni Mmoroco. Home - uone. Je hii inamaanisha nini kwa systems zetu za mawasiliano kuwa rahisi kufanyiwa uhuni kama hivyi mpaka lini.

Post a Comment

 
Top