Uvumi umezidi kutanda kuhusu kutengana kwa wasanii wanaoliwakilisha kundi maarufu la Camp Mulla la nchini Kenya na ukweli wa jambo hilo limewekwa wazi na wasanii wenyewe.

Wasanii hao wa miondoko ya Hip Hop wameelezea kuwa kutengana kwao haimaanishi ndio mwisho wao katika kufanya muziki, bali kila mmoja ameona ni bora ajishughulishe na project zake binafsi.

Imeelezwa kuwa taio Tripper, K'cous na Miss Karun wanatarajia kuondoka nchini kwa ajili ya kujiendeleza zaidi na masomo wakati Shappaman aatabakia nchini Kenya na kuendelea kufocus na taalu

Post a Comment

 
Top