Kundi la muziki kutoka nchin Nigeria ambalo linaundwa na
Peter na Paul wanaojulikana kama P-Square hivi sasa wako kwenye mpango wa
kununua ndege yao binafsi ambapo mpaka sasa wako kwenye makubaliano na kampuni
ya ndege ambayo huwapa ndege pindi wanapohitaji kusafiri iwe ni kwenye show au
matembezi yao binafsi lakini kwa sasa wanataka kumiliki yao binafsi.
Home
»
»Unlabelled
» P_SQURE KUNUNUA NDEGE YAO BINAFSI CHEKI PICHA HAPA.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment