Wizkid


Msanii Wizkid Ayo kutoka Nigeria ambapo kwa sasa yupo marekani kwa zaidi ya week ya pili akiaanda  album ya 2 nchini huko alionekana na Binti mrembo anayejulikana kwa jina la  Tania Omotayo ambapo kwa mujibu wa msanii huyo amekiri na kusema kuwa na mpenzi wake na nimekukusanyia picha zake tatu hizi hapa, 


wizkid girlfriend



wizkid girlfriend



wizkid girlfriend


Post a Comment

 
Top