Mwimbaji Upendo Kirahiro akifanya vitu vyake jukwaani
Mwanamuziki Rebecca Malope kutoka nchini Afrika Kusini akielekeza jambo katika tamasha hilo kabla ya kupanda jukwaani leo hii kwenye uwanja wa Taifa.
Waimbaji wa muziki wa injili wakiingia uwanjani kutoka kulia ni Christina Shusho, Upendo Kirahiro na Upendo Nkone.
Wanamuziki Rose Muhando akiingia uwanjani huku akiwa ameongozana na waimbaji kutoka nchini Kenya Tutuma kushoto na Emi Kosgei..
Elistone Angai naye yumo katika tamasha hilo leo hii.
Kundi lingine likitumbuiza katika tamasha hilo.
Mashabiki lukuki wakiwa uwanjani

Mashabiki wakiimba  na kucheza kwa nguvu katika uwanja wa Taifa

Post a Comment

 
Top