Mwanamziki anayefanya vizuri kwenye mziki wa bongo fleva anayejulikana kama Diamond Plutinumz azuzishiwa kumtapeli meneja wake.

Habari kamili kutoka kwa Raqey Mohammed ambae alijitambulisha kama Meneja wa Diamond aliweka picha kupitia ukurasa wake wa instagram ikionyesha gazeti likiandika habari za uzushi zikisema kuwa Diamond Amdhulumu Meneja Wake.

Raqey aliandika zaidi kulionesha gazeti hilo kutokuwa makini na habari zake na kwamba angalau lingemtafuta ili kujua ukweli ya yale yaliyoyaandika.


Na hiki ndicho alicho kiandika meneja huyo Meneja wa Diamond Platnumz:




Post a Comment

 
Top