Kupitia ukurasa wake wa "Facebook" Master J
ameandika ujumbe huu pamoja na picha ya Ommy Dimpoz na J Martin wakiwa MJ
records.
"Leo MJ Records tuko na AY. Anafanya collabo na
msanii wa Nigeria J Martins. Hapa J Martins anabadilishana mawazo na Ommy
Dimpoz. Sijui wanapanga nini, tusikilizie".
Haikuishia hapo tu pia mwanamziki kutoka Nigeria anayefanya vizuri kwenye anga ya
muziki ambaye alishuka bongo siku mbili zilizopita J Martins ameonekana
ku-tweet picha ambayo inamuonesha akiwa ndani ya Booth katika Studio ya MJ
Record.
Picha hizi zinaonyesha AY, MwanaFA na Ommy Dimpoz wako huko pia
kufanya kitu katika studio hiyo...
Pia kwa upande wa Mwana FA ameonekana kuweka picha katika
moja ya mtandao wake wa kijamii anaotumia amayo inauonyesha akiwa na J Martins huku akiandika, " J Martins
featured on FA&AY
"Bila Kukunja Goti... Tunawaua hawaponi..."
Hii inathibitisha kuwa these dudes are all in the studio
cooking some... ITS A #STUDIOFLOW Ninjas... wakiwa na producer mkali kutoka
studio hiyo... Marco Chali...
Hellο еѵeгyboԁу, hеre eveгy one is sharing thesе knoωledgе, therefore it's pleasant to read this weblog, and I used to pay a visit this weblog all the time.
ReplyDeleteHere is my page - instant cash loans
Ι am regular readеr, how are yοu eѵеrybody?
ReplyDeleteThis pаragraрh poѕted аt thiѕ web pagе
is аctually pleasant.
mу site; payday loans no credit check
Appreciаte this poѕt. Let mе try it out.
ReplyDeleteTаκe a lοok at my wеblog; payday loan