Hii ndio ndege pekee aina ya McDonnell Douglas MD-83 inayozunguka la Kombe la Dunia la Fifa katika nchi mbali mbali Duniani,na leo Kombe hilo lipo jijini Dar na tayari mambo yameanza kupamba huko Uwanja wa Taifa kwa kuwawezesha watu mbali mbali kuweza kuliona na kupiga nalo picha.Burudani mbali mbali zitatolewa leo kwenye Uwanja huo wa Taifa.




Msanii wa Muziki kutoka nchini Brazil,David Correy (kulia) akiwa na DJ wake ndani ya Ndege hiyo wakati wa Safari ya kutoka Jijini Nairobi nchini kwenye kuja Tanzania.David Correy ndie Balozi Coca - Cola ambaye anatumbuzi kwenye kila Tamasha la Maonyesho ya Kombe hilo Duniani kote.






Wadau ndani ya Dege hilo.


Nchi ambazo Kombe hilo litapita kama zionekanavyo ndani ya Ndege hiyo.

CHANZO BLOGU YA WANANCHI

Post a Comment

 
Top