Anafahamika kwa jina la Joh Maker, ni mwanamuziki wa Bongofleva toka
mjini Morogoro, ana tuzo moja ya Super Nyota 2012 kwa mkoa wa
Morogoro, na ni super nyota namab mbili kwa Tanzania nzima.
Amefanya nyimbo nyingi kati ya hizo moja inaitwa Wanasemaje
amemshirikisha Stamina Producer ni Vennt Skillz toka Kwanza Record za
Mjini Morogoro. ambayo inafanya poa kwa sasa. Leo tumembamba na yupo
ndani ya Ubalozini.blogspot.com akizungumzia harakati zake.
MSKILIZE HAPA
Post a Comment