Diamond Platnumz akiwa katika pozi pamoja na baunsa wake
Habari picha toka  tamasha la uzalendo na
uzinduzi wa video ya miaka 50 ya Muungano wa Tanzania iliyoimbwa na wasanii wakubwa 50 kutoka pande zote za Tanzania.

 Mgeni rasmi ni Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania. Wasanii Diamond Platnumz, Ommy Dimpoz, Mwana FA, Weusi, Hadija Kopa, TMK Wanaume na Yamoto Band na wengine wengi watatumbuiza
Mzee Chilo akiwa na Diamond
Msanii wa mziki alietokea EBSS,
Menina na Rachael Kizunguzungu wakifatilia uzinduzi wa
Mwanamziki wa Twanga Pepeta, Kalala Junior (katikati).
Umati wa watu waliojitokeza katika uzinduzi wa Video ya Wimbo wa Muungano katikauwanja wa Jamhuri, Dodoma.

Post a Comment

 
Top