Vera Sidika


Model Vera Sidika kutoka Kenya ambaye anamake headline kwenye vyombo vya habari baada ya kujibadilisha sura yake kwa kufanya bleaching,sasa hivi karibu kupitia moja ya mitandao ya kijamii alifunguka na kusema kuwa anataka kujibadilisha tena baada ya kuona watu wengi wamemuiga na kuanza kuvaa weaves yani nywele za bandia,sasa anapanga kujibadilisha tena na hivi ndivyo atakavyo onekana

vera sidika's new interesting look

Post a Comment

 
Top