Anajulikana kwa jina la goddess of sex ambayo ni jina maarufu la staa kutoka Nigeria ambaye amejizolea umarufu kwa kupost picha zake za utupu mara kwa mara kwenye mitandao ya kijamii hasa twitter, jana kupitia akaunti yake ya instagram aliandika kitu kuhusiana na swala zima la mapenzi ambapo alisema hivi






Amesema ukweli huyu wewe unasemaje wew hapo



Post a Comment

 
Top