jokate mwagelo


Mjasiriamali Jokate Mwegelo almaarufu kama  Kidoti au Jojo  amerusha maneno makali kwa aliyewahi kuwa mpenzi wake msanii Nasibu Abdul  maarufu kama Diamond Platnumz  kuwa hana akili timamu kufuatia maneno aliyotoa kuwa enzi za uhusiano wao, Jakote alikuwa akichoropoa mimba zake.


Akifanya Interview ndani ya  GlobalTV Online  inayomilikiwa na Globalpulisher awali ya yote Diamond alitoa madai kuwa amekuwa akiwapa mimba waliowahi kuwa na mahusiano nae lakini warembo hao walikuwa wanazitoa mimba hizo na moja kati yao alikuwa ni
 Jokate, naye Jokate hajachelewa sana akampa jibu hili Diamond Platnumz 

“Diamond atuache, kila siku anatuzungumzia, hana akili timamu, Inadhihirisha kweli hana akili kwa kuwa mtu mwenye akili zake timamu hawezi kwenda kwenye chombo cha habari na kueleza hayo aliyoyasema,”

 
Baada ya stori kuwa nyingi ikabidi Penny umwage ubuyu kuwa Diamond awe mkweli na aseme tatizo lake kwani anavyojua yeye hana uwezo wa kumpa mwanamke mimba.
Bado ubuyu unaendelea Jamani 

Post a Comment

 
Top