king lawarence akiwa na huddah monroe 


King Lawrence bado anaendelea kuachia ubuyu wa skendo za mastaa wakubwa baada ya Zari sasa imefuata kwa Huddah Monroe kwenye Instagram , Alichosema ni kwamba aliwahi kulala na Huddah na ameatoa na ushahidi wa picha kabisa na alicho kiandika kwenye Instagram hiki hapa chini 



"Can you be frank before God and declare how much I paid you for the Nite @huddahthebosschick. I called up and we negotiated the price. You came and we did our transaction. Im on my way to the hotel to try and get footage of us going into the room at nite and the time we left in the morning. By the way Huddah, what job to u do exactly? Men like me call you up, buy you a fast class ticket, book you into a good hotel and pay you. Thats what i did Bit..ch. Can u refund me? Bit..ches take cash so I don't have transfer proof bse i paid u cash."

Haya King Lawrence alimaliza hivyo picha bado linaendelea 


Je Unataka usikose ubuyu wa habari moto basi tufuate kwenye kwenye mitandao ya kijamii kwa kubonyeza hapa Facebook Twitter na Instagram

Post a Comment

 
Top