Eti Anataka kubadili Dini Tena na kuurudia uislamu upya ! limeandika gazeti la VISA , Ni baada ya kupata mwekezaji wa mwili wake mwenye imani ya Kiislam....Habari za Mjini zinatiririshwa na...
wambea wake kuwa muiagizaji huyo wa kichaga kwa sasa anawekwa mjini na jamaa mmoja mwenye pesa chafu ambae ni muuza magari anampa kila kitu Wolper ndio maana kwa sasa katulia tuli hana shobo na mtu ila tatizo ndio hiyo Dini tu ambayo inasemekana yupo radhi kuibadilisha kama jamaa atakuwa serious kufanya ndoa ...

Post a Comment

 
Top