kanga moko


Najua utakuwa unaijua ile ngoma maarufu ya Kanga Moko ambao kwa jina lingine tunawaita Strippers siku ya pasaka nusura abakkwe chooni siku ya pasaka jijini Dar walipokuwa wakifanya show yao.Moja kati wa mashuhuda wa tukio hilo alinukuliwa akisema

 "Kuna njemba moja imepata kipigo cha mbwa mwizi baada ya kumvizia chooni mnenguaji mmoja wa Khanga Moko na kutaka kumbaka baada ya kuchanganywa na mauno ya jukwaani"

Baada ya jamaa huyo kuchukua kipigo hicho Ilibidi wasamaria wema waingilie kati baada kusikia kelele zkitoka choo cha kike na kupokea kipigo kitakatifu.

Duuh sasa jamani hali ni tete kazi zingine hizi za kuishi roho juju mbaya sana tafutane kazi ya kufanya nyingine.

Post a Comment

 
Top