Mapema leo watu wanne wakutwa wakiwa hai katika moja ya majengo yalioko chuoni  Garissa University Campus ambapo siku ya jana takribani watu 148 walipoteza maisha wote wakiwa ni wanafunzi na polisi watatu pamoja na pamoja na wanajeshi watatu katika shambulio lilofanywa na Al-Shabab siku ya Alhamisi.


Watu wawili walikutwa hai eneo hilo wanashikiliwa na polisi nchini Kenya kwa mahojiono zaidi na mmoja kati yao akiwa ni Mtanzania ambaye alikuwa hausiki kabisa chuoni hapo.

Post a Comment

 
Top