Video Queen Tunda Sabasita hivi karibuni ameweka wazi uhusiano wake wa kimapenzi na mwanamuziki David Genze ‘Young D’ ambapo amesema Mungu akipenda ndoa yao itafungwa soon.
Akiongea na Ijumaa, Tunda alisema kuwa ni kweli yuko katika kisiwa cha mapenzi na mwanamuziki huyo na kuweka wazi hisia zake kuwa anampenda sana na kumthamini tofauti na watu wanavyo muongelea.
“Ni kweli niko na D na ninampenda sana, Mungu akipenda tutakuwa mwili mmoja soon kwa sababu nimempima na kuona ndio mwanaume mwenye nafasi kubwa kwenye moyo wangu,”alisema Tunda.
Related Posts
- Alikiba Apost Picha Kuonyesha Ukubwa wa Mimba ya Wema Sepetu.27 Jan 20160
Wema Sepetu Week Mbili Hizi Amekuwa kwenye Headlines sana ikisemakana kuwa Anaujauzito wa Msh...Read more »
- Baada ya Shamsa Ford Kuachana na Nay Huyu Ndie Aliyeziba Pengo.21 Nov 20150
Staa Nay Wa Mitego Baada ya Kuacha na aliyekuwa Mpenzi wake Shamsa Ford najua utakuwa mfuatilia...Read more »
- Uhusiano wa Kimapenzi Kati ya Idris Sultan na Samanthan Umevunjika.21 Nov 20150
Big Brother Africa Hotshots winner Idris Sultan ambaye kwa sasa yuko Mbioni kuanza Show yake mp...Read more »
- Jokate Anasa Ujazito wa Alikiba.07 Nov 20150
Staa Jokate Mwagelo ambaye kwa sasa yuko Mapenzini na Staa wa Muziki wa Kizazi Kipya Ali Kiba...Read more »
- Picha za Wema Sepetu Afunga Ndoa na Luis Munana wa Namibia.29 Oct 20150
Wema Sepetu amefunga ndoa kwa mara ya pili mwaka huu – kwenye movie bila shaka! Baada ya miezi ...Read more »
- Video ya Shilole Ana Mimba ya Nuh Mziwanda.26 Oct 20150
Tetesi za Hapa na pale ni baada ya kusika kuwa Msanii Shilole ana Ujazito wa Mpenzi wake Nuh Mz...Read more »
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.