Watengeneza filamu kutoka  Ghana ambao walisha tengeneza filamu ya kwanza ya ngono ilijulikana kama Adventures Of Wapipi Jay sasa wameiachia filamu ya pili ya ngono nchini Ghana "Adventures Of Wapipi Jay 2", kwa mara ya kwanza kabisa Ghana pornographic movie ilitolewa 2007 ambapo ilitoa mstuko mkubwa kwa watu wengi, hasa wale wanaowatambua wahusika wakuu ktk filamu hii wakiwalaumu kwa nini wamejiingina katika mradi wa kupotosha jamii na kuharibu kizazi cha kesho kwa maana ya watoto.

Watengenezaji wa sinema hiyo wanaojulikana kama Wakiki Entertainment wametoa Part 2, ambayo inauzwa sana miongoni mwa jamii ya Ghana nje ya nchi. Baadhi wanamini pia inapatikana katika maduka kadhaa nchini Ghana.


Pia katika upande wa production sound tracks ya movie hio ni kutoka kwa nyimbo za wasanii wanaojulikana nchini Ghana kama akina  Lumba, Ofori Amponsah, KK Fosu na wengine. Washiriki wakuu waliocheza kwenye filamu hii ni wanaume wawili wenye majina  Wapipi Jay na K. Bonsu kwa upande wa kike ni Adjoa, Akosua, Fatima na wengine.

Post a Comment

 
Top