ISIMANI 159 bd555Paroko wa Parokia ya Isimani mkoani Iringa,Padri Angelo (katikati) akiwa katika ibada maalumu ya kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa utumishi, anarudi kwao Italia.
ISIMANI 162 7a32eMh: Wiliam Lukuvi (MB) akijumuika na baadhi ya wananchi wa jimbo la Isimani kwenye ibada maalumu ya kumuaga Padri Angelo. Waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu Sera na uratibu wa bunge ,Wiliam Lukuvi ambaye ni mbunge wa jimbo la Ismani akimfariji msaidizi paroko wa Parokia ya Isimani Herman Myalla (36) wa Kanisa aliyekuwa amelazwa Hospitali ya mkoa wa Iringa baada ya kuvamiwa na majambazi juzi
15 Jul 2013

Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

 
Top