Unaikumbuka ile mechi kati ya Ureno na Ghana mchezaji William Carvalho alimvuta mchezaji wa Ghana anayejulikana kwa jina la Jordan Ayew ambapo alimvuta mchezaji huyo kaptula yake na kufanya maungo yake kuonekana miongoni mwa wachumba wa mastaa wanaosakata kabumbu nchini huko videohii imekuwa gumzo na wakuwafanya waiangalie kila saa itazame hapa

Post a Comment

 
Top