Staa Vanessa Mdee amefanikiwa kunyukua Tuzo za #AFRIMA ambazo zilikuwa zinafanyika leo nchini Nigeria na ameshinda katika kipengele cha Best Female East Africa na kupitia akaunti yake ya Instagram alicho post ni hiki hapa chini


Vanessa Mdee Instagram 

Pamoja na picha ya Tuzo yake 

Vanessa Mdee  

Hongera sana Vanessa Mdee kwa kuiwakilisha Tanzania Vema kwenye Mashindano hayo 

Post a Comment

 
Top