Wakati siku ya Jana msanii Diamond Platnumz yuko ndani ya Uganda kwa ajili ya show ya Zari the bos lady kutoka Uganda, mapokezi yake yalikuwa ya laana, licha ya magari lakin hiyo furaha aliyokuwepo nayo zari ilikuwa imepitiliza yani mpka mwenyewe alikiri lakini story zikawa zinavuma kwenye blogs facebok na twitter lakin hukufanikiwa kuona video nimekuwekea hapa video 

Kama Kifaa chako hakina uwezo bonyeza hapa 


Zari anavyjishebedua lol kweli kwa data 



Post a Comment

 
Top