The number one Entertainment site kutoka Kenya Ghafla,co.ke imafanya kitendo cha aibu baada ya kumuita msanii Jaguar She badala ya He, kama ujuavyo kingereza kinakuchapia lakin kwa media kubwa kama ile imeleta aibu kubwa kwa msanii Jaguar kwa kuitwa msichana ikizingitiwa kwamba Ghafla ni site inayoongoza kwa kutembelewa na watu wengi sana Kenya, ushahidi wa picha uko hapa chini tizama
Unataka usikose ubuyu wa habari moto basi tufuate kwenye kwenye mitandao ya kijamii kwa kubonyeza hapa Facebook Twitter na Instagram
Post a Comment