Rapper Iggy Azalea ambaye miaka ya nyuma kabla ya kuwa na mpenzi wakwa Nick Young, ex boyfriend ambaye pia alikuwa ni manager wake ambaye kwa sasa anauza mkanda wao wa ngono, Ex wake amesema rapper huyo amesign mkataba wa yeye kuuza mkanda wao wakifanya mapenzi.


iggy azalea

Manager wake aliyekuwa akiitwa Hefe Wine amesema Iggy amesign mkataba huo toka 2009 akimruhusu kuuza na kuzalisha tena mkanda huo na kutangaza mtandao wa TMZ umepata kipande cha document kinachoonyesha sign ya rapper huyo 

Manager huyo amesema anampango wa kutengeneza website kabisa ambapo itakuwa na kazi moja ya kuuza mikanda hiyo ya ngono aliyocheza rapper Iggy Azalea

 


Unataka usikose ubuyu wa habari moto basi tufuate kwenye kwenye mitandao ya kijamii kwa kubonyeza hapa  Facebook Twitter na Instagram

Post a Comment

 
Top