"Morning my people..samahani kama nitakuwa nawakwaza but sometimes ni bora kutoa dukuduku lako..To be honest huwa wananiboa wale wa R.I.P WA INSTA...inaeleweka kwamba kutokana na majukumu ya kimaisha si kila kitu utaudhulia.sometimes inaweza ikatokea msiba labda umesafiri au unaumwa au dhalula yoyote inaeleweka
But hawa wenzangu na mimi msiba unatokea utaona R.I.P kubwa na kwenye msiba haendi..na si kwamba kabanwa wala,maana baadaye mnaweza kutana viwanja.isingekuwepo INSTA je.? Weka R.I.P na kama hujabanwa nenda msibani.nawajua hawa maana insta ataweka hadi vialama vya kulia but msibani halitokei ila usiku unakutana nalo club."
Unazungumzaije hili?

Post a Comment

 
Top