Udaku Special Blog: Baada ya Picha ya Wema Sepetu na Ommy Dimpoz Kuwekwa Mtandaoni ikionyesha wawili hao kukaa mkao wa kimahaba huku wema Sepetu Akimtumbua Ommy Dimpoz Chunusi Usoni ..Washabiki mbali mbali wa Wema Wamesifia Picha Hiyo na Kusema.........
Wamependezwa na Wawili Hao Wanavyopendeza na Kuwataka waanzishe Project Mpya , wakiwa na maana wawe wapenzi , Mashabiki wengine walikwenda mbali zaidi na kumwambia Wema Atoke na Ommy Dimpoz ili Amsahau aliyekuwa Mpenzi wake wa Zamani Diamond Platnumz ambae kwa sasa anatoka na Zari the lady Boss wa Uganda..

Baadhi ya Comments za Mashabiki Kutoka Instagram hizi Hapa:

husna1112
pendeza sana my wema huyu ndo mwanaume anaga makuu yuko humble sana

theresiasebastiane
Gooooooooooooooaaaaaaaaaaaaaal hapana refa kaotea dimpoz unataka ufunike 2015 tulia na huyo ndo mwanamke bright na katulia yaani umeokota dodo kwenye mti wa ubuyu pyeeeeeeee refa anzisha mpira ligi imefika patamu

schollah24
Mewapenda b ureeeeeeeeeeeeeeeee @ommydimpoz @wemasepetu

vquetamari
Kwa mfanooooo  ikawa kaukwel??

Je Unaona Wanaendana?

Post a Comment

 
Top