Baada ya Kuachana na aliyekuwa mpenzi wake anayechezea Club ya Real Madrid mchezaji Cristiano Ronaldo na model Irina Shayk. Sasa Model Irina ameamua kuachia mambo yake hadharani baada ya kupata mpenzi mwingine na amekuwa wakifanya mambo ya Aibu hadharani na kuachia kwenye mitandao ya kijamii  

Hizi ni baadhi ya picha zao zicheki 














Ronaldo hapa lazima upasuke kwa wivu aisee 

Post a Comment

 
Top