mustafa colonel

Kenyan rapper ambaye aliwahi kuwa na mahusiano na BBA star Huddah Monroe, Colonel Mustapha ambaye week zilizopita kuna baadhi ya picha zilisambaa kwenye mitandao ya kijamii zikionyesha akicheza filamu za Ngono, Lakin kila mara alipoulizwa na baadhi ya waandishi wa habari kama ameingia kwenye biashara ya Video za Ngono lakin amekua akikataa katu katu na kusema kuwa zile ni picha katika Video yake inayokuja siku za karibuni.

Msanii huyo ameachia Cover Photo ya wimbo huo ambapo hapo pichani anaonekana video vixen ambaye kwa jinsi alivyojaliwa amewaacha wanaume wengi mlimi nje 

Enjoy the pic Below 

Colonel Mustapha dubbed Dodoma


Post a Comment

 
Top