Unamkumbuka Jux Vuitton yule chours killer wa kundi zima la Wakacha,jamaa yuko kimya kimziki lakin kuna mengi anafanya pia safari za nje(ughaibuni) hazi mpigi chenga.....




Lkin katika story zilizoenea mitandaoni ni kwamba anatoka na mke wa mtu ni hottest model hapa Tanzania anayejulikana kama Jackie Cliff pichani hapo chini



Kama ulikuwa umjui Jackie Cliff ameonekana katika video mbalimbali za hapa bongo ikiwema ile inayofanya vizuri sasa katika station kibao za hapa bongo na nje ya bongo inayojulikana kama Nataka kulewa ya Diamond pamoja ya miaka ya nyuma ya Mangweir ngoma inaitwa she got gwan..

Hivi karibun kupitia acc yake ya Mtandao wa kijamii wa Instagram aliachia picha hii hapo chini na kuandika

"Dinner date with @juma_jux in Garden Hotel"
jux 4


Jux naye akandika hivii nakuachia picha hiyo hapo chini

"Baby tryn them #me Jordans....#dope thought"

Jux 1




Post a Comment

 
Top