Mwanamziki anayefanya vizuri kwenye gemu la bongo fleva
amabye pia anatesa na ngoma ya Going Crazy anayejuikama kama PHD sasa kwa habari zilizoko ni kwamba
mwanamziki huyu anakaribia kuachia ngoma yake ya REST OF MY LIFE amabayo ndani yake
atamshirikishi Rapper Lil Sama a.k.a Mr.
Blue sasa imekaribia kutoka.
Rest Of My Life ikiwa ni mwanzoni kabisa mwa mwezi wa
nne, yaani Tarehe 1 mwaka huu.Hemedy ambae bado anafanya vizuri na ngoma yake ya ''Going
Crazy'' ambayo aliiachia miezi michache iliopita sasa yuko njiani kuachia
single yake hiyo kaa tayari kama wewe ni shabiki wa hemedy.
Post a Comment