PICHA ZA UTUPU


Miaka ya nyuma video vixen walikuwa wakitamba enzi hizo kama akina Agness Gerald ‘Masogange’, Jacqueline Fitzpatrick Cliff ‘Jack Patrick’, Rehema Fabian, Husna Maulid ambao nao walikuwa na tabia ya kachia picha zao Utupu ikiwa kama ni moja ya style ya kujiongeza umaarufu kwenye mitandao ya kijamii, sasa kwa mwaka huu ameibuka mrembo mmoja anayejulikana kwa jina la Lulu ambaye ameuza sura kwenye ‘kioo’ cha Ngoma ya Shitobe ya msanii anayefahamika kwa jina la Y-Tony, naye ameingia kwenye headlines tena baada ya kutupia picha zake akiwa uchi wa mnyama kabisa 

Mtandao wa globalpublisher.info umefanikuwa kunasa picha hizi zikimuonesha binti huyo akiwa uchi wa mnyama na inasemaka alipigwa na mpenzi wake 




Post a Comment

 
Top