Rapper kanye west amesema anataka mtoto wake aitwe North.Rapper
huyo amabaye anafanya vizuri bado kwenye gemu ya muziki aliandika majina ya
ajabu kwenye list ambayo inadaiwa ni wakati akiwaza atampatia jina gani mtoto
wake aliyezaa na mwanadada Kim Kardishian sababu ya yeye kumpa mtoto wake jina
la North ni kwamba utamkaji wake (North) ni mzuri hivyo ndio maana
akalipendekeza hilo japo mwanadada ajasema chochote kuhusu jina kwa sababu
jamii ambayo mwanadada Kim anatokea lina desturi/kawaida ya kuanza na herufi K.
Home
»
»Unlabelled
» KANYE WEST ATAKA MTOTO WAKE NA KIM KARDISHIAN AITWE NOTRHT STORY KAMILI IKO HAPA.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment