Mwanamuziki asiye ishiwa na vituko anayejulikana kama  Rihanna amefunguka kuhusu single yake mpya inayokwenda kwa jina la "Stay" ambayo amesema itaelezea mwanzo mpya wa mahusiano yao na Mwanamziki mwenzie Chriss Brown,kimapenzi yatakayodumu milele na boyfriend wake Chris Brown.

Mwanadada huyu aliendelea kuongeza kuwa “sasa sisi tumekuwa watu wazima, tunahitaji kufanya hivo, tumeanza mwanzo mpya wa mahusiano yetu mimi na Chris Brown, mahusiano yasiyovunjika tena."

Pia katika kutafuta yangu nikapata ngoma yake hii hapa inaenda kwa jina la Stay download hapa na usikilize


Post a Comment

 
Top