Host wa kipindi cha Take one kinachorushwa na kituo chako
cha clouds tv Zamaradi Mketema amefunguka
juu ya show iliyokuwa inzungumzia maswala ya movie kwamba mzigo upo kwenye
process ya kuanza kuonekana tena kupitia Clouds TV baada ya kuchukua muda kidog
bila ya kuonekana kwa muda kidogo.
Clouds TV ambapo
show hiyo kuruka hewani itaanza kuonekana kwenye ving’amuzi.baada ya vingamuzi
kutonyesha channel hii na vipindi vyake
kujipanga na kuandaa vitu vipya.
Basi kama wewe n shabiki wa hii show kaa tayari kucheki
tena show hii inayoruka kupitia Clouds media.
Post a Comment