Mwisho wa mwezi huu, Mwanamuziki wa siku nyingi maarufu kama Lady Jay Dee au Binti Komando anataraji kufanya shughuli katika ANNIVESARY ya kuadhimisha MIAKA 13 ya yeye kuwepo kwenye gemu wa muziki wa bongo fleva.
Lady Jay Dee  ambae natamba sana nyimbo yake ya Joto hasira ailiyofanya na mwanamziki nguli mwenzie Prof Jay amepanga kufanya shughuli hiyo ndani ya  mgahawa wake unaojulikana kama Nyumbani Lounge iliyopo Tranic Plaza [Near Best Bite] maeneo ya Namanga, jijini Dar Es Salaam ...
Katika kuadhimisha miaka hiyo, JAYDEE ameandaa show itayoongozwa na MACHOZI BAND pamoja na Wasanii hawa hapa chini :


Post a Comment

 
Top