Alioko katikati ni Mchekeshaji maarufu hapa nchini ''Masai Nyotambofu'' Ambae pia ni DIRECTOR wa masainyotambofu.blogspot.com Akiwa na wanamuziki nguli kutoka bendi ya EXTRA BONGO ''Sura Mauzo'' na ''Papii Katalogy''. EXTRA BONGO ni bendi Inayo endeshwa na mwanamuziki mkongwe katika muziki wa dance hapa nchini ''Ali Choki'', Leo walitia tim kwenye kambi ya wachekeshaji wa VITUKO SHOW kundi linalopagawisha hapa nchini na nje ya nchi kupitia kipindi chake cha VITUKO SHOW kinachorushwa na runinga ya CHARNEL TEN. Wanamuziki hao walitembelea kambi hio majira ya saa kumi na moja jioni kabla ya SHOW itakayofanyikia Tanga Hotel jijini Tanga Leo usiku.

BANZA STON mwanamuziki nguli.
Huyu ndio PAPII KATALOGY nooma!


Majembe mawili haya

Hapa Tupo nje ya mjengo kwenye mkeka asili ya Tanga Tunapata upepo wa bahari maeneo yetu ya sahare.




KIBOSHO


SURA MAUZO

BANZA STON

Mpiga Drams machachari wa EXTRA BONGO Anaetambulika kwa jina la ''Kibosho'' akijinafasi na totoz ya nguvu Tabitha Shotii kutoka VITUKO SHOW.

ATANASI HUYO

PAPII KATALOGY NA BONGE LA SIMU!

''ATANASI'' mwanamuziki nguli noma kwa masauti.

SURA MAUZO, YOSSO KOMANDO Camera man wa VITUKO SHOW, KIBOSHO na PAPII KATALOGY wakiwa kwenye pozzzzzzzz.
PICHA NA mwandishi wa masainyotambofu.blogspot.com

Post a Comment

 
Top