Akizungumza
na tovuti yetu ya TZA1961 Blog, Lulu alisema kwamba mara nyingi amekuwa
akiota anafanya ngono na wanaume asiowafahamu na akiamka asubuhi huwa
anajiskia mchovu na hali hiyo imechangia kuwa na mvutio zaidi kwa
wanaume mbalimbali na wengi wao hujikuta ana 'do' nao. "Hakuna
anayeweza kukubali kufanya ngono kama kuku, mara nyingi nimekuwa
nikiota ninafanya mapenzi na wanaume nisio wajua na baada ya kuuliza
nikaambiwa ni jini mahaba na hili limekuwa likinitesa na limepelekea
niwe na mvuto wa kupendwa zaidi na wanaume ambao baadhi yao huwa
nashindwa kujizuia kuwapa uroda" alisema LULU
Home
»
event
» “JINI MAHABA LINAPELEKEA NIWE NA MVUTO KWA WANAUME NA KUNIFANYA NISHINDWE KUJIZUIA KUWAPA URODA” LULU AFUNGUKA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Pata habari zote za udaku kwenye mtandao huu mpya kabisa udaku bofya neno udaku
ReplyDeletehahahha umetisha mzeee
ReplyDelete