MSANII wa filamu Bongo, Elizaberth Michael ‘Lulu’ hivi karibuni aliwashangaza watu baada ya kuvukwa na gauni alilokuwa amevaa na kulazimika kutembea huku sehemu kubwa ya kifua chake ikiwa wazi.
Msanii wa filamu Bongo, Elizaberth Michael ‘Lulu’.
Tukio hilo lilitokea hivi karibuni katika kiwanja kimoja kichopo mjini Arusha ambapo mmoja wa watu aliyemtia machoni Lulu aliyeomba hifadhi ya jina lake alisema:
“Yaani nilimuona Arusha akiwa amevaa gauni lililoacha wazi matiti yake, kaficha chuchu tu na inavyoonekana gauni lilimvuka, akaonekana akihangaika kulirudishia bila mafanikio.”
Ijumaa lilimtafuta Lulu kupitia simu yake ya mkononi bila mafanikio ila juzikati akatundika picha kwenye mtandao wa instagram akiwa amevaa gauni kama lile aliloonekana nalo Arusha.

Post a Comment

 
Top