Mwanamuziki Bora wa Kiume, David Adedeji Adeleke 'Davido'
Katika kipengele Mwanamuziki Bora wa Kiume nominees walikuwa ni Anselmo Ralph ( wa Angola), Davido (Nigeria), Donald (Afrika Kusini) , Wizkid (Nigeria) na  Diamond Platnumz (Tanzania) ambapo mshindi alikuwa ni Davido kutoka Nigeria.

Diamond alikuwa anawania tuzo mbili lakini hajafanikiwa kushinda kati ya hizo.

Tuzo ya Best Collabo ilitangazwa awali na imechukuliwa na Uhuru ft DJ Bucks,Oskido,Professor,Yuri Da Cunha na wimbo wa Y-tjukutja.
Lakini sio mbaya watanzania wamefanya kazi kubwa kupiga kura na kutoa sapoti  kwenye mitandao ya kijamii.

Post a Comment

 
Top