Wakazi wa Dodoma na viunga vyake wamepokea shangwe za burudani ya Serengeti iesta 2014 iliyofanyika Jumapili (October 5) ndani ya viwanja vya Jamhuri Dodoma.
Ali Kiba akiwa kwenye pozi ndani ya jukwaa la fiesta Dodoma
Ali Kiba akiwa kwenye pozi ndani ya jukwaa la fiesta Dodoma

Tamasha hilo ambalo lilihudhuriwa na wakazi wengi wa mjini Dodoma lilipambwa na wasanii, Young Killer, Jux, Stamina, Fid Q, K. Style , G.Luck, Vanessa, Ali Kiba, Dully Sykes , Mr Blue, Recho, Nay wa Mitego, Khadija Maumivu, Linah, Edo Booy, Baba Levo, Abdu Kiba, Barakah Da Prince, Mo Music , Y. Tony , D-Triple pamoja na Suba Mkole.

Tazama picha.
Mtangazaji wa Clouds TV Lugha Kali
Mtangazaji wa Clouds TV Lugha Kali

Recho akionyesha uwezo wa mauno
Recho akionyesha uwezo wa mauno

Ali Kiba akiwa na dancer wake
Ali Kiba akiwa na dancers wake

Ali Kiba
Ali Kiba

B 12 akifanya yake Dodoma
B 12 akifanya yake Dodoma

Baba Levo
Baba Levo

Barakah Da Prince
Barakah Da Prince

BluePicha Hapa

Post a Comment

 
Top