Rais Kikwete amesema Mwanasheria Mkuu wa Serikali tayari amejiuzulu, Bodi ya Tanesco imeshamaliza muda wake na tayari amesha teua Mwenyekiti Mpya wa Bodi huku Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Prof. Anna Tibaijuka akisema amesha zungumza nae na amemuomba apishe nafasi yake ateuliwe mtu mwingine.
Upande wa Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo ameomba amuweke kiporo yeye na Katibu Mkuu wake, Eliakim Maswi kupisha uchunguzi dhidi yao. 

Post a Comment

 
Top