boy-who-looks-like-an-angel-he-even-has-real-wings




Familia ya Bw Stephanie Brown wamepatwa na Sintofahamu baada ya mkewe kujifungu mtoto wa maajabu.Mtoto huyo ambaye amezaliwa akiwa na mithili ya malaika mwenye mabawa ya kupaa kama walivyo ndege. Baba wa mtoto huyo alipona mtoto wake anabadilika kila siku aliamua kwenda kwa daktari kwa ajili ya uchunguzi zaidi na madtari wamesema hata wao ni mara ya kwanza kuona mtoto wa namna ile.

boy-who-looks-like-an-angel-he-even-has-real-wings

Kutona na mtoto kuwa ni mdogo sana madaktari wakwa wanahisi labda mtoto huyo anasumbuliwa na skin cancer na kama ujuavyo ukipata Cancer kuna uwezokano usichukue muda mrefu utakuwa umekwisha nyakuliwa lakin madaktari waihakishia familia hiyo kuwa mtoto huyo aitaishi miaka mingi sana.

Hizi ni baadhi ya picha zake ziko hapa chini endelea nazo.


boy-who-looks-like-an-angel-he-even-has-real-wings




boy-who-looks-like-an-angel-he-even-has-real-wings






Post a Comment

 
Top