Msanii wa kizazi kipya Top In Dar aka tid ame post kwenye page yake ya instagram picha ambayo imezua maswali mengi kwa mashabiki zake kutokana alichoandika kwamba;
"i'm here with my house girl......anajitahidi as long as my place is clean"
Aliandika t.i.d ikifatiwa na picha aliyopiga.Picha hiyo amepiga akionekana yupo na mwana dada huyo ambae yeye anadai ndio house girl.

Post a Comment

 
Top