Udaku Special Blog
Kajala Kwenye News Tena Katika Pita pita zangu Instagram nimekutana na huu Ubuyu kutoka kwa Dougiesmasta akimponda Kajala na Kuandika haya Hapa Chini:



"Hehehehehehehe kama nilivyo sema mbea kazia yake ni kufikisha habari....na habari ndio hiii watu mpoooooooooo kutukanwa sitaki lkn umbe wa mujini ndio huu eeti ndugu yetu billionea kajala wa masanja sasa hiv amekuwa apeche alolo aka alosto kafulia fuli fuli...hatari hapana chezea lakzima utajiuliza kwan bwana Ck yuko WAP...aibu mjin CK ajifungia ndani anamadeni kila kona ya dunia....ck wa kuuza vitu vyake vya ndani inatia huruma billionea kajala wa kutembelea NOAH wakat mbezi ya kimala NOAH dala dala uwiiii....kajala tulikwambia lkn hapa mjini ukifulia hakuna atakae kutaka yuko wapi yule big daddy alokuwa anajifanya anakupenda kumshinda mamako mzazi wote wamekukimbia kajala wewe sio wakujifungia ndani bilionea shauzi kumwaga pesa sasa hiv unazijutia..yani wenzio wananunua magali wewe unauza hatari hii...hiv KAY YAKEE wewe kwann kila mwanaumr utakae kuwa nae lazima aishie jela maskin CK yani kama namuona anavyoenda kunyea debe mpooo CK kazi ndo basi wazee TAKUKURU wamfikisha mahakamani kwa wizi wa pesa za serikali...mungu sio fundi juma tusema ukiwa huna pesa utampa ny... mungu wako wewe ndio wawote kajala ulifurahi Sana Wema alipo pokonywa gali kipo WAP huyo bwana alokuwa anakutia jeuri sasa hiv kabaki yeye na tumbo lake...KAY VIP China mbona hatuoni tena safari zimeingia mchanga au hahahahahaha jamn jmn msipende kuchezea pesa zikiisha utaanza kukumbuka unao wadai wote
NAENDELEA UMBUYU MREFU" By Dougiesmasta

Je kuna Ukweli wowote ama ni Ushabiki wa Team Fulani na Fulani tu ?

Post a Comment

 
Top