Unamkubukua Jack Pemba tajiri aliwahi kujaribu kutoa uhai wa Aunty Ezekiel kwa sasa anaishi Uganda laki taarifa za kidaku zinasema Jacky ni mtu wa safari sana hakai mahali pamoja.

Kama utakuwa mfuatiliaji wa nyimbo za dansi utakuwa uliwahi kusikia jina lake Jack Pemba, unaambiwa weekend iliyopita alifanya sherehe ya Laana ambapo alikuwa akiadhimisha mika kadhaa ya kuzaliwa kwake na alichokifanya huko ilikuwa ni kufuru
Tujiunge na Blog ya Mange Kimambi ili kupata taarifa kamili ya Jack
Jack Pemba kwa sasa anaishi Uganda… Sijui ndo zile long vacation zake za kama mwaka hivi then anarudi UK, sijui…lol..
Ila ndo hivyo gosspit media za Uganda habari ni jack Pemba, wanamwita “new money bag in town”
hahahahahhahaha…. Wangewauliza wabongo kwanza habari za Jack Pemba….lol…
Unaambiwa juzi kati kafanya bonge la besdei party lenye theme ya OO7 ,wanasema katumia 100m ya Uganda…hahahhaa
kabla ya besdei unaambiwa alitumia Johnie Walker kuosha gari yake….hahahahahhaa…Waganda wamedataje nae sasa…..
Ila kweli wanawake taste zetu zinatofautiana, hivi kweli unaweza kutoka na mwanaume anatumia kinywaji kuosha gari lake? doesnt matter ana utajiri gani but kwa kufanya hivyo tu inakwambia akili zake zipoje…..hahahaha..Pia inakwambia hana hela za kivileeeeee, matajiri wanauchungu na pesa zao wewe, matajiri ni wabahili. Hawachezei pesa.
Ila mie nampendaga sana Jack PEMBA wakati naandaa mambo ya Miss TZ nilikulaga sana mihela yake…hahahahahahahaha……
Yani alikuwaga mshkaji wangu balaaaa…. Ilimradi nimstue aje kwenye mazoezi aangalie mademu amwage mahela hapo basi…Alafu enzi za chuo laki 5 mtu unaona kama 5m…hahahhahhahahhaha,,,,,,, Yani alikuwa mshkaji wangu mnooooooooo.
Cake yake ndo hiyo ilikuwa na theme ya James Bond 007…hahahahaha..
Na mwenyewe mmeona nguo zake match na keki….hahahahaha
Unaambiwa ndo aliingia hivi ukumbini na boti …hahahahhahahaha…huku akiwapungia wageni..
Jamani Jack Pemba anashughuli….lol
Dadake huyu wanasema alitoka Tanzania kwenda msuprise kakake huko Uganda…
mmeona bango la 007???lol
Unaambiwa Jacky kajiopolea Ugandan singer , Desire yule wa BBA….
Jacky anapenda mastaaa jamani…Yani wanawake wasiojulikana yeye hawataki…
Huyu Desire nae angemuuliza Aunty Ezekiel habari za JACK PEMBA… Atazalishwa hapo na kuolewa harusi kabisa ila siku ya kurudi UK ikifika atasoma number….hahahhahahahahhahahaha…. Chezea Jack Pemba wewe….
Hivi kwanini kaikimbia Tanzania kaamua kwenda Uganda kutumbua??? mnaojua why tujuzeni please… Maana hii sio haki jamani, nchini kwake mbona kuna mademu kibao tu who need a guy wa kurusha mahela kama yeye alafu anaenda wapa waganda?hahahahhahaha
Haya sasa mambo ya Jacky Pemba bhana mpaka Uganda.
Credit Mange Kimambi Blog
Post a Comment